بَيْنَ كَتِفَيْهِ عَلَامَةْ خَاتَمُ الرُّسْلِ الكِرَامِ
Kati ya mabega yake kuna alama ya muhuri wa mitume waheshimiwa
بَيْنَ كَتِفَيْهِ عَلَامَهْ
خَاتَمُ الرُّسْلِ الكِرَامْ
Kati ya mabega yake kuna alama:
Muhuri wa Mitume Wenye Heshima
أَشْرَقَ البَدْرُ عَلَيْنَا
وَاخْتَفَى بَدْرَ التَّمَامْ
Mwezi mpevu umetuchomozea
na mwezi kamili umefichwa kabisa
مِثْلَ حُسْنِكْ مَا رَأَيْنَا
فِي العِرَاقَيْنِ وَالشَّامْ
Mfano wa uzuri wako, hatujaona
Katika Iraq mbili na Shamu
يَا حَبِيبِي يَا مُحَمَّدْ
يَا عَرُوسَ الخَافِقَيْنِ
E mpenzi wangu, E Muhammad
E kipenzi wa viumbe viwili
يَا مُؤَيَّدْ يَا مُمَجَّدْ
يَا إِمَامَ القِبْلَتَيْنِ
E uliyesaidika, E uliyetukuzwa
E kiongozi wa Qibla mbili
مَنْ رَأَى وَجْهَكَ يَسْعَدْ
يَا كَرِيمَ الوَالِدَيْنِ
Yeyote aonae uso wako anafurahi
E mwenye wazazi waheshima
حَوْضُكَ الصَّافِي المُبَرَّدْ
وِرْدُنَا يَوْمَ الزِّحَامْ
Bonde lako la maji safi na baridi
ndipo tutakunywa Siku ya Msongamano
رَبِّي فَاجْعَلْ مُجْتَمَعْنَا
غَايَتُهْ حُسْنُ الخِتَامْ
Mola wangu, fanya mkusanyiko wetu
mwisho wake uwe muhuri mzuri
وَأَعْطِنَا مَا قَدْ سَأَلْنَا
مِنْ عَطَايَاكَ الجِسَامْ
Na utupe tulichokuomba
Kutoka kwako neema kubwa
وَأَكْرِمِ الأَرْوَاحَ مِنَّا
بِلِقَا خَيْرِ الأَنَامْ
Na heshimu roho zetu
kukutana na bora wa viumbe
وَأَبْلِغِ المُخْتَارَ عَنَّا
مِنْ صَلَاةٍ وَسَلَامْ
Na mfikishie mteule kutoka kwetu
za sala na amani